• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Biashara,Viwanda na Uwekezaji
      • Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya jamii
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

UZINDUZI CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Imetumwa: April 23rd, 2018

Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey W. Zambi, amezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi,  leo hii, kwa mabinti wenye miaka 14 Katika sherehe iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Lindi.

Miongoni wa waliohudhuria walikua ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Lindi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Lindi, katibu tawala wa Wilaya pamoja na katibu tawala wa Mkoa. Wengine waliohudhuria ni watumishi mbali mbali na wanafunzi ambao pia walipatiwa chanjo katika uzinduzi huo.

Wakizungumza katika nyakati tofauti tofauti katika uzinduzi huo Mstahiki Meya wa Manispaa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi waliwaasa wanafunzi hao kuwa kupewa chanjo hii haina maana kuwa wamepewa ruhusa yakufanya yale ambayo wamekatazwa.

Aidha mkuu wa mkoa katika kukazia hilo alisema kuwa hawapaswi kujihusisha na vitendo vya ngono maana madhara yake ni makubwa “madhara ya ngono ni makubwa, kuna ukimwi pamoja na mimba. Na chanjo hii ni kwa ajili ya saratani ya mlango wa kizazi na si hayo mengine”

Pia wanafunzi wliohudhuria uzinduzi huo waliombwa kwenda kuwa mabolizi wazuri kwa wenzao juu ya zoezi hili linaloendelea.

Zoezi hilo ambalo lilikuwa limeshaanza siku tano zilizopita, leo lilikuwa linazinduliwa rasmi. Zoezi hilo ambalo limefadhiliwa na WHO  limewalenga mabinti wa kuanzia miaka 9 hadi 14, Japo chanjo imeanza kwa kutolewa kwa masichana wenye miaka 14

Mratibu wa zoezi hilo alisema “hii sio kampeni bali ni zoezi endelevu”.

Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa hatari na unaouwa wanawake wengi hasa katika nchi zinazoendelea kama Tanzania. Ugonjwa huu unasababishwa na vijidudu vijulikanavyo kitaalamu kwa jina la Human papilloma virus (HPV) na huambukizwa kwa njia ya ngono kutoka kwa mtu mwenye virusi hivyo. Tafiti zinaonyesha kuwa katika kila wanawake wanne wanaoshiriki ngono watatu wanapata maambukizi ya HPV na kwa wasichana wenye umri mdogo  uwezekano wa kupata maambukizi hayo ni mkubwa zaidi.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN LINDI MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KUONGEZA KWA MUDA WA RUFAA November 13, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA October 31, 2024
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • SPORTS DEVELOPMENT AID YAKABIDHI MIPIRA 585 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 35 MKOA WA LINDI.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA LINDI WAJENGEWA UELEWA JUU YA MASUALA YA RUSHWA.

    April 08, 2025
  • Ona Yote

Video

NENO LA DC MWANZIVA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI HALMASHAURI YA MANISPAA LINDI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa