• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Biashara,Viwanda na Uwekezaji
      • Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya jamii
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini na Mjini

Lengo

Kusimamia na kushauri masuala yote yanayohusu miundombinu katika Halmashauri. Idara inafanya kazi zifuatazo:-

  • Kushauri kuhusu masuala ya sekta ya ujenzi;
  • Kupanga maendeleo ya miundombinu;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo ya wakandarasi;
  • Kukagua kazi za ujenzi zinazofanywa na Halmashauri na kuhakikisha ubora wake;
  • Kutoa vyeti kwa wakandarasi kwa mikataba iliyokamilika;
  • Kufanya uwekaji lami wa barabara mpya kwa kushirikiana na TARURA;
  • Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na Taasisi za nje na ndani ya Nchi zinazoshughulikia masuala ya miundombinu;
  • Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi;
  • Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi; na
  • Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya Ardhi.

 Idara hii inaongozwa na Mkuu na inajumuisha Sehemu tatu (3) kama ifuatavyo:-

  • Sehemu ya Kazi;
  • Sehemu ya Barabara; na
  • Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini.

Sehemu ya Kazi

Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutoa ushauri wa sheria, kanuni, taratibu na mambo yote yanayohusu ujenzi;
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za masuala ya ujenzi;
  • Kuandaa mikataba inayohusiana na majengo na mitambo;
  • Kutayarisha na kukadiria gharama za ujenzi;
  • Kufuatilia utendaji kazi wa wakandarasi;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  • Kukagua majengo na kuhakikisha ubora wake;
  • Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba; na
  • Kusimamia uendeshaji wa warsha za Halmashauri.

Sehemu ya Barabara

Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutoa ushauri kuhusu masuala yanayohusiana na utambuzi na uwekaji lami wa barabara mpya;
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni kwenye barabara za lami;
  • Kutengeneza barabara mpya katika ardhi iliyopimwa;
  • Kuandaa mikataba ya uwekaji lami wa barabara mpya;
  • Kutayarisha makadirio ya gharama za kuweka lami barabara;
  • Kufuatilia utendaji wa wakandarasi;
  • Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  • Kukagua barabara za lami ili kuhakikisha ubora; na
  • Kusimamia ujenzi na matengenezo ya vituo vya mabasi.

Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini

Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  • Kusimamia huduma za kimazingira na kijamii;
  • Kuongoza mipango ya maendeleo ya miji, makazi na matumizi endelevu ya ardhi;
  • Kusimamia na kuratibu usimamizi wa mambo ya kale na utalii;
  • Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  • Kuratibu na kukuza maendeleo ya miji inayochipukia kutoka vijiji hadi makazi ya mijini; na
  • Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN LINDI MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KUONGEZA KWA MUDA WA RUFAA November 13, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA October 31, 2024
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • SPORTS DEVELOPMENT AID YAKABIDHI MIPIRA 585 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 35 MKOA WA LINDI.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA LINDI WAJENGEWA UELEWA JUU YA MASUALA YA RUSHWA.

    April 08, 2025
  • Ona Yote

Video

NENO LA DC MWANZIVA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI HALMASHAURI YA MANISPAA LINDI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa