• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

MKURUGENZI AAHIDI KUSIMAMIA VYEMA MIRADI YA HEART TO HEART.

Imetumwa: November 26th, 2021

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi Ndugu Juma Mnwele ameahidi kusimamia vyema miundombinu ya miradi iliyotekelezwa na shirika la Heart to Heart,Ameyasema hayo leo alipokuwa kwenye hafla ya kukabidhiwa mradi wa maji na vyoo shule ya msingi Mvuleni na mradi wa maji zahanati ya Mvuleni.

Mnwele ametoa shukrani za dhati kwa shirika la Heart to Heart kwa mambo makubwa waliyofanya tangu walipoanza mpaka kufikia kumaliza mkataba wao.Pia amewaomba kuendelea kutekeleza miradi mingine zaidi kwani bado kuna uhitaji mkubwa wa miundombinu hiyo.

Aidha Katibu Tawala wa Wilaya ndugu Thomas Safari ambaye alikuwa mgeni rasmi akikaimu nafasi ya Mkuu wa Wilaya amewaomba walimu na wazazi kuhakikisha wanawafundisha vyema wanafunzi kutunza miundombinu hiyo lakini pia matumizi sahihi ili iweze kudumu kwa muda mrefu.

                DAS akitoa neno la shukurani kwa shirika la Heart to Heart.

Shirika la Heart to Heart limeanza kufanya kazi ya kutekeleza miradi ya maji,vyoo na misaada mbalimbali kwa vituo vya afya na shule za msingi mwaka 2019 ambapo mpaka kufikia mwaka 2021 wameshatekeleza ujenzi wa vyoo 12 kwa shule za msingi 6,miradi ya maji kwa zahanati 3 na miradi ya maji kwa shule za msingi 14 lakini pia wametoa elimu juu ya usafi wa mazingira kwa walimu wakuu na elimu juu ya kuepuka magonjwa yatokanayo na maji kwa wafawidhi lengo likiwa kuwafikia watu wengi zaidi ili kuweza kupata elimu husika kupambana na magonjwa mbalimbali yatokanayo na maji ikiwemo kichocho na kuhara.

Wamehitimisha rasmi mkataba wao wa miaka 3 (WASH) tarehe 25/11/2021 katika ukumbi wa sea view ambapo viongozi wa ngazi mbalimbali na wataalamu walipata wasaa wa kushiriki lakini pia kufanya makabidhiano ya miradi kwa maandishi.

                          Mgeni rasmi akikata utepe kuzindua vyoo shule ya msingi Mvuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 23, 2022
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI January 27, 2021
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA January 27, 2021
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA LINDI YAZINDUA KAMPENI CHANJO YA POLIO.

    May 18, 2022
  • MHE.KASPAR KASPAR MMUYA AIPONGEZA MANISPAA YA LINDI UFANIKISHAJI WA ANWANI ZA MAKAZI.

    May 16, 2022
  • MKUU WA WILAYA ATOA SIKU SABA ILI KUONGEZA KASI KWENYE MIRADI YA UJENZI.

    May 09, 2022
  • LINDI YAPEWA KIPAUMBELE MALIASILI NA UTALII.

    May 02, 2022
  • Ona Yote

Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akishiriki katika ujenzi wa kituo cha afya Mvuleni.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa