• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Biashara,Viwanda na Uwekezaji
      • Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya jamii
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

MEI MOSI MKOANI LINDI YAFANA.

Imetumwa: May 1st, 2021

Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani ambapo kilele cha maadhimisho hayo mkoani lindi yamefanyika uwanja wa ilulu Halmashauri ya Manispaa ya Lindi,maadhimisho hayo yameudhuriwa na wafanyakazi wa taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiserikali miongoni mwa taasisi zilizojitokeza kuadhimisha siku hiyo muhimu ni RUWASA,TUCTA,LUWASA,TRA,TANROADS,CRDB,NSSP,TUICO,TUGHE,TALGWU,VETA,NHC,TFS,TANESCO,CWT,TPB na TTCL.Kauli mbiu ya Mei mosi 2021 ni “Maslahi Bora,Mishahara Juu,Kazi iendelee”Mgeni rasmi ambaye alimuwakilisha Mkuu wa  Mkoa ni Mkuu wa wilaya ya Liwale Ndugu Sarah Chiwamba akiongozana na viongozi mbalimbali akiwemo Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi ndugu Rehema Madenge.Maadhimisho hayo yamepambwa kwa burudani na michezo mbalimbali ikiwemo kukimbiza kuku.

Mgeni rasmi amewapongeza viongozi wa taasisi mbalimbali kwa maandalizi mazuri ya siku hiyo muhimu kwa wafanyakazi.Mgeni rasmi amewataka wafanyakazi wote kutimiza haki na wajibu kwenye maeneo yao yakazi,Kuepuka migogoro ,Kushirikiana na viongozi ,na kwa upande wa walimu kuhakikisha wanafunzi wanalelewa vizuri kwa maana kwa wawachukulie wanafunzi hao kama watoto wao wa kuwazaa hii ni kuepusha pia mahusiano baina ya mwalimu na mwanafunzi.Amesema pia tatizo la upungufu wa watumishi linashughulikiwa kwa maana kwamba serikali imeshatanga ajira elfu 40 ambazo zitatoka hivi karibuni,Pia serikali inaendelea kuboresha miundombinu ya utendaji kazi kwa watu wenye uhitaji maalumu(walemavu na waathirika wa virusi vya ukimwi.Mgeni rasmi amewasisitiza wafanyakazi kuzingatia nidhamu nawajibu katika utendaji kazi ili kuongeza ufanisi kazini.

                                                                 Mgeni rasmi katikati akisindikizwa kwenda kuhutubia.

         

                                   Mgeni rasmi akipatiwa elimu alipotembelea banda la TANESCO kwenye maadhimisho ya Mei Mosi.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN LINDI MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KUONGEZA KWA MUDA WA RUFAA November 13, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA October 31, 2024
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • SPORTS DEVELOPMENT AID YAKABIDHI MIPIRA 585 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 35 MKOA WA LINDI.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA LINDI WAJENGEWA UELEWA JUU YA MASUALA YA RUSHWA.

    April 08, 2025
  • Ona Yote

Video

NENO LA DC MWANZIVA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI HALMASHAURI YA MANISPAA LINDI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa