• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Biashara,Viwanda na Uwekezaji
      • Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya jamii
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

MANISPAA YA LINDI YAZINDUA JENGO LA MAMALISHE SABASABA.

Imetumwa: November 6th, 2020

Katika kuendelea kutekeleza maelekezo ya Serikali ya kila halmashauri kutenga asilimia kumi (10%) ya mapato yake ya ndani, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi imeviwezesha kiuchumi vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Katika mwaka 2019/2020, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi ilitenga Tshs 102,793,499.97 kwa ajili ya kuvikopesha vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu.Aidha ,ilitenga Tshs 59,293,500.00 kwa ajili ya kukopesha kikundi cha Mamalishe Sabasaba, pesa ambazo ndizo zilizotumika kujenga jengo la Mamalishe Sabasaba Manispaa ya Lindi kama linavyoonekana kwenye picha hapo chini:


Katika mwaka wa fedha 2020/2021, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi imetenga Tshs 208,224,000.00 kwa ajili ya kuvikopesha vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu. Aidha, hadi kufikia 31 Oktoba, 2020 jumla ya Tshs 83,292,500.00 zilikuwa zimeshakopeshwa kwa vikundi 14 vikiwemo vitano (5) vya Wanawake, sita (6) vya Vijana na vitatu (3) vya watu wenye ulemavu.

Kikundi cha Mamalishe Sabasaba kinaundwa na Wanawake kumi na nne (14) ambao wote ni Mamalishe.Kikundi hiki kimetambuliwa na Halmashauri na kupewa cheti cha utambuzi chenye Na.LMC/CBO/946. Mara baada ya kuomba mkopo kutoka Halmashauri na kupatiwa pesa hizo, wamezitumia kujenga jengo lenye jumla ya vyumba kumi (10), kuweka milango na madirisha ya vyuma (Grill), kutengeneza mfumo wa maji taka pamoja na mfumo wa umeme na kununua samani (viti 60 na meza 10) vyote vya plastiki. Aidha, wameshailipa TANESCO gharama zote za kuingiza umeme katika jengo hilo.

Lengo la kikundi cha Mamalishe Sabasaba kuchagua kujenga jengo hilo ni kuboresha mazingira ya kufanyia shughuli zao za kupika na kuuza vyakula.Hii itapekelekea wananchi wengi na wa aina zote kuhamasika kupata huduma mahali hapa na hatimaye kuwawezesha kujiongezea mapato yao yatakayosaidia kuinua hali za maisha katika kaya zao.

Baada ya uzinduzi wa jengo hilo, Katibu tawala wa Wilaya ya Lindi ndugu Thomas Safari na kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi ndugu Baptista Kihanza waliwaasa Mamalishe wote watakaopata fursa ya kupata vyumba katika jengo hilo kuwa waangalifu katika matumizi ya jengo hilo na kulitunza ili vizazi vijavyo viweze kulitumia pia. Aidha Mamalishe walishukuru sana kwa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi kwa kuwapatia fursa hiyo ambayo ni adhimu kwao na kuahidi kulitunza jengo hilo.

Baadhi ya Mamalishe wakiwa na nyuso za furaha katika uzinduzi wa Jengo la Mamalishe Manispaa ya Lindi.


Muonekano wa ndani wa moja ya chumba cha jengo la Mamalishe Manispaa ya Lindi.


Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN LINDI MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KUONGEZA KWA MUDA WA RUFAA November 13, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA October 31, 2024
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • SPORTS DEVELOPMENT AID YAKABIDHI MIPIRA 585 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 35 MKOA WA LINDI.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA LINDI WAJENGEWA UELEWA JUU YA MASUALA YA RUSHWA.

    April 08, 2025
  • Ona Yote

Video

NENO LA DC MWANZIVA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI HALMASHAURI YA MANISPAA LINDI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa