• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
  • E-Learning
    • Joining instructions form
    • past papers
    • Notes

BARAZA LA MADIWANI LAJADILI TAARIFA MBALIMBALI ZA MAENDELEO YA MANISPAA YA LINDI

Imetumwa: February 20th, 2021

Baraza la Madiwani la tarehe 20.02.2021, limefanyika katika ukumbi wa St. Andrea Kagwa ambapo taarifa mbalimbali za Maendeleo ya Manispaa ya Lindi za robo ya pili ya mwaka 2020/2021 zimejadiliwa na wajumbe wa Baraza (Madiwani), Wakuu wa idara na vitengo,viongozi wa kamati ya ulizi na usalama, pamoja na Wataalam wa Taasisi mbalimbali kama TARURA, RUWASA, TANESCO, SWISSAID na Shirika la bima ya afya walioalikwa ili kutoa ufafanuzi wa taarifa mbalimbali sambamba na kujibu maswali mbalimbali ya wajumbe.Maswali mengi yalielekezwa katika Taasisi mbili ambazo ni TARURA na RUWASA ambapo wajumbe waliwasilisha changamoto za barabara na maji zinazopatikana katika maeneo yao. Aidha, maswali yote yalijibiwa na wataalam wa taasisi hizo na kuendelea kuahidi kuonyesha ushirikiano wa juu pale ambapo watahitajika.Baadhi ya picha za wataalam hao wakati wakijibu hoja za wajumbe ni kama zinavyoonekana hapo chini:

Meneja wa TARURA mtama akijibu hoja za wajumbe mbalimbali wa jimbo la Mchinga.


Mtaalam kutoka RUWASA akijibu hoja zinazohusiana na maji zilizowasilishwa na wajumbe.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Lindi mhe. Frank Magali alitoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi na timu yake kwa ujumla kwa kazi nzuri wanayofanya katika nyanja mbalimbali. Pongezi nyingi zilienda kwa idara ya elimu ambapo Maafisa elimu walipongezwa kwa kuboresha elimu na kuongeza ufaulu wa wanafunzi. Aidha, Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi ndg. Jomaary Satura aliendelea kusisitiza kudumisha umoja na ushirikiano baina ya watumishi kwani maendeleo ya Manispaa ni jukumu la kila mtumishi na aliendelea kusema kwamba watumishi wote wanajenga nyumba moja kwa hiyo suala la ushirikiano halina budi kuhimizwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI (10%) YA MAPATO YA NDANI January 27, 2021
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI January 27, 2021
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA January 27, 2021
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • WAMAMA WA MANISPAA YA LINDI WAJIPANGA IPASAVYO KUSHEREHEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

    March 06, 2021
  • ZIARA YA MHE. DAVID SILINDE, NAIBU WAZIRI-OR TAMISEMI KATIKA MANISPAA YA LINDI

    February 22, 2021
  • BARAZA LA MADIWANI LAJADILI TAARIFA MBALIMBALI ZA MAENDELEO YA MANISPAA YA LINDI

    February 20, 2021
  • MADIWA WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI WAIDHINISHA KIASI CHA PESA SHILINGI BILIONI 22,145,705,949 BAJETI YA 2021/2022.

    January 29, 2021
  • Ona Yote

Video

Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Jomaary Satura azungumzia ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba 2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa