• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Biashara,Viwanda na Uwekezaji
      • Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya jamii
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

UTEKELEZAJI WA MRADI WA GESI ASILIA LIKONG'O (LNG) UTAPELEKEA MAENDELEO KATIKA MKOA WA LINDI NA TAIFA KWA UJUMLA : KASSIM MAJALIWA.

Imetumwa: August 28th, 2023

Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB) amepongeza uwepo wa mradi wa kusindika na kuchakata gesi asilia (LNG) katika eneo la Likong'o Manispaa ya Lindi.
Pongezi hizo amezitoa Agosti 26, 2023 katika kilele cha maonesho ya madini na uwekezaji yaliyofanyika wilayani Ruangwa ambapo mgeni rasmi alikuwa ni waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB).

Aidha amesema utekelezaji wa mradi huo wa gesi asilia Likong'o (LNG) utapelekea manufaa mbalimbali katika taifa letu ikiwemo uzalishaji wa ajira za Kudumu na za muda mfupi kwa wakazi wa Manispaa ya Lindi na Mkoa wa Lindi kwa ujumla, pia Mkoa utaendelea kupata Maendeleo kupitia mauzo ya bidhaa na huduma mbalimbali wakati wa utekelezaji wa mradi huo.

Lakini pia alitumia nafasi hiyo kuwaomba wakazi wa Mkoa wa Lindi pamoja na taasisi mbalimbali kutumia fursa hiyo ya mradi wa gesi asilia (LNG) katika kujipatia vipato.

Sambamba na hilo amesisitiza wakazi wa Mkoa wa Lindi kuanza kujiandaa kufanya Shughuli mbalimbali za kiuchumi kupitia mradi huu wa gesi asilia wa (LNG) ikiwemo kujenga hoteli za kitalii, nyumba za wageni, kuboresha huduma za utoaji wa chakula pamoja na huduma bora za usafirishaji.

Katika hatua nyingine mkuu wa wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga akimuwakilisha mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amesema moja ya changmoto inayo ikabiri sekta ya madini Mkoa wa Lindi ni wawekezaji kushikiria maeneo kwa muda mrefu na kuwanyima fursa wawekezaji wapya pamoja na wakulima wa chumvi kukosa soko la bidhaa zao

Pamoja na hayo ameiomba serikali kujenga uchumi wa viwanda katika Mkoa wa Lindi ili kukuza ajira alikadhalika kupandisha bei ya bidhaa zinazo zalishwa ili kuimarisha Mkoa wa Lindi.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN LINDI MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KUONGEZA KWA MUDA WA RUFAA November 13, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA October 31, 2024
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI.

    May 17, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI MANISPAA YA LINDI LIMEANZA LEO MEI 16,2025.

    May 16, 2025
  • SPORTS DEVELOPMENT AID YAKABIDHI MIPIRA 585 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 35 MKOA WA LINDI.

    April 26, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AWAPONGEZA WAKAZI WA MANISPAA YA LINDI KWA KUJITOKEZA KWENYE MAZOEZI YA MUUNGANO DAY.

    April 26, 2025
  • Ona Yote

Video

NENO LA DC MWANZIVA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI HALMASHAURI YA MANISPAA LINDI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa