• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
  • E-Learning
    • Joining instructions form
    • past papers
    • Notes

MKUU WA MKOA WA LINDI AFANYA ZIARA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI.

Imetumwa: January 28th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi afanya ziara ya kutembelea shule za msingi na sekondari Manispaa ya Lindi ambapo amewataka Watendaji Kata husika kuhakikisha wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaripoti wote,Pia amewataka Mkuu wa Wilaya na watendaji wake kujenga madarasa,vyoo,viti na meza na miundombinu yote muhimu katika shule zenye changamoto hizo ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma vizuri.Pia kufanya msawazo wa walimu kutoka kwenye shule zenye walimu wengi kwenda kwenye shule zenye walimu wachache ameagiza zoezi hilo litekelezwe ndani ya miezi mitatu ametoa agizo hilo akiwa katika shule ya sekondari Mingoyo ikiwa ni miongoni mwa shule alizotembelea.Mkuu wa mkoa aahidi mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa shule ya msingi Msinjahili na Mkuu wa Wilaya aahidi bati 40 geji 30 kwa ajili ya ukarabati huo pia.

                                                                                                                                                          


Matangazo

  • TANGAZO LA UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI (10%) YA MAPATO YA NDANI January 27, 2021
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI January 27, 2021
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA January 27, 2021
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • WAMAMA WA MANISPAA YA LINDI WAJIPANGA IPASAVYO KUSHEREHEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

    March 06, 2021
  • ZIARA YA MHE. DAVID SILINDE, NAIBU WAZIRI-OR TAMISEMI KATIKA MANISPAA YA LINDI

    February 22, 2021
  • BARAZA LA MADIWANI LAJADILI TAARIFA MBALIMBALI ZA MAENDELEO YA MANISPAA YA LINDI

    February 20, 2021
  • MADIWA WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI WAIDHINISHA KIASI CHA PESA SHILINGI BILIONI 22,145,705,949 BAJETI YA 2021/2022.

    January 29, 2021
  • Ona Yote

Video

Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Jomaary Satura azungumzia ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba 2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa