• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
  • E-Learning
    • Joining instructions form
    • past papers
    • Notes

Kupata leseni ya biashara

Ili kupata leseni ya Biashara unatakiwa kufanya yafuatayo:-

KWA MUOMBAJI MPYA

1. Fika ofisi za Biashara za Halmashauri kwa Afisa Biashara utajaza fomu ya kuomba leseni.

2. Utapewa maelekezo ya kwenda TRA kwa ajili ya kupata TIN namba na kufanya Tax Clearance

3. Ukishapata TIN utarudi tena kwa Afisa Biashara ukiwa na kopi ya TIN yako na utatengenezewa Bill ambayo utaenda nayo NMB kwa ajili ya kufanya malipo

4. Mara baada ya kulipa utarudisha nyaraka kwa mpokea fedha wa Halmashauri na kupewa Risiti ya Halmashauri

5. Rejesha risiti kwa Afisa Biashara ambapo yeye atakupatia Leseni yako ikiwa imekamilika.


KWA WANAOHUISHA LESENI ZAO

1. Nenda TRA kwa ajili ya kufanya Tax Clearance

2. Fika Ofisi za Biashara ukiwa na leseni yako ya zamani ili utendengenezewe Bill ili uende kulipia NMB

3. Mara baada ya kulipa utarudisha nyaraka kwa mpokea fedha wa Halmashauri na kupewa Risiti ya Halmashauri

4. Rejesha risiti kwa Afisa Biashara ambapo yeye atakupatia Leseni yako ikiwa imekamilika.


NB:

Unaweza kulipia Bill yako kwa kutumia huduma ya NMB Mobile kwa wateja wenye huduma hiyo Kupitia hatua zifuatazo:-

1. Piga  *150*66#

2. Ingiza Password

3. Chagua 5 - Malipo ya Bill

4. Chagua 8 - TAMISEMI

5. Chagua 2 - Lipia Bill

6. Ingiza namba ya malipo ambayo ni ndefu inaanzia na 2006.......

7. Itakuonesha Jina la Mteja na Deni lake

8. Chagua kulipia bill 

9. Thibitisha Malipo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KATIKA MRADI WA MAJI RUTAMBA. January 07, 2021
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI June 10, 2020
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA June 25, 2020
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI NA CHA NNE.

    January 15, 2021
  • MKUU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI MEJA JENERALI IM MHONA ATEMBELEA MANISPAA YA LINDI

    January 13, 2021
  • MKURUGENZI AAHIDI KUFANYA UKARABATI MASHULENI

    January 06, 2021
  • KITUO CHA AFYA MNAZIMMOJA KIMEANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI.

    January 05, 2021
  • Ona Yote

Video

Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Jomaary Satura azungumzia ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba 2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa